• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wilaya Ya Hai Yapata Shilingi 949,000.000 Za Mradi Wa BOOST

Imetumwa: May 15th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro imepokea fedha kiasi cha Shilingi  949,100,000.00 kwaajili ya ujenzi wa miundombinu ya madarasa ya awali na msingi  katika shule saba za msingi za Wilaya hiyo.

Taarifa imetolewa na Afisa elimu msingi Wilayani hapo Huseni Kitingi katika Kata za Machame Narumu na Masama Kusini alipokuwa akiutambulisha mradi mpya wa BOOST unaotekelezwa katika Wilaya hiyo.

Kwa mujibu wa Kitingi  amesema Shule ya msingi msamadi na shule ya Msingi Narumu ni Miongoni mwa shule saba za wilaya hiyo zilizopatiwa fedha kwaajili ya mradi wa huo unaolenga kuimarisha miundombinu ya shule za awali na msingi

" Mradi huo unategemewa kutekelezwa kwa muda wa miaka mitano na mwaka huu wa kwanza ndio tumepokea fedha hizo na utekelezaji wa mradi huu wa madarasa ni kwa miezi mitatu .amesema Hussen.

Amesema kupitia mradi huu wa BOOST katika awamu ya kwanza watajenga madarasa 22 na matundu ya Vyoo 15 na matawanyiko wake ni Shule ya Msingi Narumu madarasa matatu, Kengereka madarasa manne, Kawaya kati madarasa manne, Kikavu chini madarasa manne, Mkalama madarasa manne, Msamadi darasa 1 la watoto wenye mahitaji maalum na matundu 3 ya vyoo pamoja na shule mpya katika eneo la Mlima Shabaha.

Kwaupande wake Afisa Elimu Takwimu Wilayani Hapo Jafari Zaid ambaye pia ni Mratibu wa mradi huo amesema ujenzi huo wa madarasa utafanyika kwa uadilifu na uamkini  na utamalizika  kwa muda uliokusudiwa .

Kwaupande wake Afisa kutoka Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU Wilayani hapo Amani Fransis amezitaka Kamati zitakazoenda kusimamia miradi hiyo ya ujenzi kuisimamia miradi hiyo vyema huku ikiwashirikisha wananchi juu ya ujenzi huo kwani kamati ndio kila kitu katika masuala ya usimamizi wa ujenzi kwani kamati ikivurugana Miradi haiwezi kwenda vizuri

Amesema endapo litatokea suala lolote lenye viashiria vya rushwa watoe taarifa katika ofisi za TAKUKURU.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai