• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wilaya ya Hai Yashughulikia Kero za Mirathi

Imetumwa: July 3rd, 2019

Zaidi ya kesi zipatazo 84 za mirathi zimeshughulikiwa kwa kutolewa ufumbuzi huku vyombo vya usimamizi wa mabaraza ya kata yanayohusika na kesi za mirathi pamoja na ardhi  kuvunjwa kwa  kusindwa kutekeleza wajibu wake wa kutatua migogogro inayowasilishwa kwao.

Akizungumza kuhusu uwepo wa mabaraza butu ya kata; Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai  Yohana Sintoo amewata wananchi kujiandaa kwa  kuacha wosia wenye lengo la kuondoa changamoto zitakazojitokeza ikiwemo ugomvi wa kifamilia na kudhulumiwa haki haswa watoto.

“Natoa rai kwa wananchi wote katika Wilaya ya Hai kuwa na tabia ya kufanya maandalizi kwa kuandaa wosia ambao utachanganua mgawanyo wa mali ili kuepuka kutokea migogoro mtu anapofariki” Amesema Sintoo.

Ameongeza pia uwepo wa uelewa mdogo wa wananchi kuhusu sheria za mirathi na kuzitaka taasisi za kiserikali na mashirika binafsi yanayoshughulikia haki za binadamu kuelimisha jamii kuhusu swala la mirathi ili kupunguza matukio ya  ugomvi ndani  ya jamii.

Naye Katibu Tawala wa Wilaya ya Hai Upendo Wela  amewashukuru wataalamu walioshiriki kwenye zoezi hilo huku akibainisha uzito wa zoezi hilo la kuwasaidia wananchi kupata haki zao na zaidi kuwaelimisha kuhusu masuala ya mirathi na umuhimu wa kuandika wosia.

“Ofisi ya Mkuu wa Wilaya imekuwa ikipokea mashauri ya mirathi na kuyashughulikia lakini kwa kushirikiana na wataalamu wa sheria, wakuu wa idara na taaasisi nyingine tumeweza kushughulikia mashauri mengi zaidi” Amesema Wella.

Pia wakili mkuu wa Mkoa ameeleza kuwa swala la mirathi na kesi za ardhi zimekuwa kubwa kwa wilaya ya Hai  huku pakiwa na uwelewa mdogo wa uandikaji wa wosia na mirathi kinachopelekea baadhi ya watu kupora mali za wengine kwa kutumia uwezo wa kifedha au nafasi za madaraka na mamlaka walizonazo.

Kwa namna nyingine mmoja wa wahanga wa kesi ya mirathi Bi Mariamu ameishukuru serikali kupitia kwa Mkuu wa Wilaya kwa kuendesha zoezi hilo na kuwasaidia wananchi kupata haki zao na kubainisha kuwa kuna idadi kubwa ya watu wanaodhulumiwa haki zao na kushindwa kupata utatuzi wa kisheria kwa sababu mbalimbali ikiwemo kuogopa kulogwa na kupoteza haki zao bila ya ufafanuzi wa sheria husika.

Mkuu wa Wilaya ya Hai ametengeneza utaratibu wa kukutana na wananchi na kuwaikiliza na kuwatataulia kero wananzokutana nazo kwenye masuala mbalimbali akishirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama pamoja na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya na Wataalamu wake; utamaduni ambao umepokelewa vizuri na wananchi kwa kujitokeza kupata huduma husika.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Ujenzi Wa Bweni La Shule Ya Machame Kukamilika Kabla Ya June 19

    May 29, 2025
  • Vijana Wasauriwa Kutumia Fursa

    May 27, 2025
  • Wafanyabiashara Wa St Stend Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Wafanyabiashara Wa Send Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai