• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Zao La Kawaha Kufufuliwa Wilayani Hai

Imetumwa: September 28th, 2021

Imeelezwa kuwa makakati wa Bodi ya Kahawa wa kugawa miche ya kahawa kwa wananchi bila ya malipo unawapa hamasa wataalam wa kilimo kusimamia yale ambayo yameelekezwa katika ilanai ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Akizungumza  katika kijiji cha Isuki kilichopo kata ya machame kati walaya ya Hai kwenye  hafla ya uzinduzi  wa ugawaji wa miche ya kisasa ya zao hilo bure kwa wakulima iliyotolewa na  Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB)  kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Ndugu Dionis Myinga , mkuu wa idara ya kilimo, ushirika na umwagiliaji ndugu David Lekei  amesema hatua hiyo ni sehemu ya juhudi za serikali ya kufufua kilimo ya zao la kahawa.

Lekei amesema mkoa wa Kilimanjaro kuna mazao mengi lakini zao ambalo limeacha alama ni zao la kahawa, na kwamba limesababisha uchumi wa Kilimanjaro ukawa tofauti na baadhi ya mikoa mingine.

Ameongeza kuwa Kahawa inayolimwa katika maeno haya ya Hai ina ladha maalum kwa sababu ya ukanda huo kuwa na  udongo wa kivolkaniki hivyo ufanya kahawa inayolimwa hapa kuwa ya tofauti na sehemu zingine.

Naye Mbunge wa jimbo la Hai Saashisha Mafuwe ameipongeza TCB kwa jitihada za kufufua zao hilo huku akiwataka wananchi walioacha kulima zao hilo kwa sababu mbali mbali kuendelea kulima kwa kuwa ndiyo msingi wa maendeleo ya mkoa wa Kilimanjaro.

“msingi wa maendeleo tuliyonayo mkoa wa Kilimanjaro ni kahawa, ni kweli nakubaliana na ninyi bei imeyumba. Kwa hiyo ikiyumba na sisi tuyumbe?si tutafute majawabu tunairejeshaje barabarani?Ndio hiki tunacho anza kukitafuta.Nafurahi tumeanza kulima tena zao la kahawa.”alisema Saashisha.

Awali akizungumza Mkurugenzi maendeleao ya TCB Kajiru Kisenge amewataka wananchi kutoka kata tamaa na amewataka waliopewa miche hiyo waipande ili  matokeo ya fedha za serikali zilizotumika  imegharamia miche hiyo ionekane.

Kwa mujibu wa Kisenge jumla ya miche ambayo ilikuwa inahitajika kutokana na takwimu za waliojiandikisha ni miche 73,729.

“Lengo letu ilikuwa ni yale maeneo ambayo kuna umwagiliaji ili tuwahi kuwapa miche halafu hao wengine tuje tuwape mvua zinapoa anza kunyesha, ilibidi tutengeneze vitalu ambavyo vinazalisha miche ya kahawa na kama bodi tulifanikiwa  kutengeneza vitalu 17.”

Bodi hiyo inaendelea na utaratibu wa kugawa miche hiyo kwa wananchi ambay itawagawanya kwa awamu tofauti tofauti hii ikiwa ni awamu wa kwanza iliyolenga wenye maeneo ya umwagiliaji wakati wengine watapata miche hiyo wakati wa mvua.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai