Imetumwa: November 14th, 2024
Vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu wamesisitiziwa kuweka Akiba itokanayo na faida ya biashara wanazofanya.
Akizungumza wakati wa Kutoa mafunzo Kwa vikundi hivyo vinavyotaraj...
Imetumwa: November 8th, 2024
Mkuu wa wilaya ya Hai Mhe.Lazaro Twange amewaagiza wakandarasi wote wanaotekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara wilayani Hai kufanya kazi na kukamilisha miradi hiyo kwa muda uliopangwa...
Imetumwa: November 8th, 2024
Wilaya ya Hai unatarajiwa kutoka kinga tiba kwa watoto wenye umri kuanzia miaka 5 Hadi 14 utakaofanyika kwenye shule zote za Msingi katika wilaya ya Hai,.
zoezi litakalo fanyika siku ya Jumatano Ta...