Imetumwa: April 1st, 2020
Serikali katika Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai kukamilisha ujenzi wa Zahanati ya Kwa Tito ndani ya siku 14 ili kusogeza huduma za afya ...
Imetumwa: April 1st, 2020
Halmshauri ya Wilaya ya Hai imetoa majiko banifu yanayohamishika 19 kwa wananchi wa kijiji cha Mbatakero ili kuhakikisha kuwa serikali inakabiliana na uharibifu wa mazingira.
Majiko hay...
Imetumwa: March 25th, 2020
Kujikinga na maambukizi ya uogonjwa wa homa kali mapafu unaosababishwa na virusi vya corona unatakiwa kufanya yafuatayo:
Nawa mikono yako mara kwa mara kwa maji safi yanayotiririka na sabuni :-
...