Imetumwa: May 14th, 2021
Diwani wa Kata ya Muungano Edmund Rutaraka ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai amechangia mifuko 40 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa pamoja na choo kwenye shul...
Imetumwa: May 12th, 2021
Katibu Tawala Wilaya ya Hai Upendo Wella ameiomba Wizara ya Maliasili na Utalii kuangalia viwango wanavyopatiwa wahanga wa matukio ya ajali zinazohusisha wananchi na wanyama pori.
Ameishau...
Imetumwa: May 11th, 2021
Wauguzi nchini wametakiwa kuimarisha utendaji wao kwa kufanya kazi kwa bidii, kujitoa na kuwajali wagonjwa wanaowahudumia ili kuepuka kuhatarisha maisha ya wananchi kutokana na uzembe wa baadhi yao.
...