Imetumwa: June 11th, 2022
Mwenge wa uhuru umeweka jiwe la msingi katika jengo jipya la wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum (ICU) katika hospitali ya wilaya ya Hai Juni 11, 2022 baada ya kuridhishwa na ujenzi unaoendelea.
...
Imetumwa: June 11th, 2022
Mkimbiza Mwenge wa uhuru kitaifa Sahili Geraruma amefungua barabara ya St. Dorcas iliyopo kata ya Muungano wilaya ya Hai yenye thamani ya shilingi 417,115,485 na urefu wa mita 680 ambapo barabara hiyo...
Imetumwa: June 11th, 2022
Mwenge wa uhuru umezindua ujenzi wa bweni katika shule ya sekondari ya wasichana Machame wilayani Hai wenye thamani ya shilingi milion 138,618,910.99 ambapo mradi huo utasaidia kupunguza msongamo wa w...