Imetumwa: June 6th, 2020
Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imetoa wiki moja kwa wajasiriamali wadogo wanaostahili kuwa na vitambulisho vinavyotolewa na Serikali kufanya hivyo ili kuwapa uhuru wa kufanya biashara...
Imetumwa: June 5th, 2020
Wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai wametakiwa kuongeza ushiriki wao katika masuala yanayohusu utunzaji wa mazingira katika maeneo yao.
Wito huo umetolewa na Afisa Mazingira wa Halmashauri...
Imetumwa: June 2nd, 2020
Afisa Elimu ya Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai Julias Kakyama amewataka wanafunzi wa Kidato cha Sita kutumia muda uliobaki kufanya maandalizi ya muhimu ya Mtihani wa kumaliza elimu ya se...